Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 29 August 2015

UNAKUMBUKA FRANCO ALIVYOMPIGIA KAMPENI MOBUTU MWAKA 1984?



Wimbo huu uliimbwa na L'Okanga La Ndju Pene Luambo Luanzo Makiadi almaarufu kama Franco mwaka 1984 akiwa anampigia rafiki yake kipenzi Joseph Mobutu, au Mobutu Seseseko Nkuku Ndegbu Wa Zabanga.
Hawa jamaa walikuwa marafiki wakubwa, ingawa kuna wakati walikuwa wakitofautiana.

No comments:

Post a Comment