Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 31 August 2015

NIGERIA MABINGWA WA MPIRA WA KIKAPU AFRIKA


Timu ya taifa ya Nigeria ya mchezo wa kikapu imetwaa ubingwa wa mpira wa kikapu barani Afrika baada ya kuichapa Angola.
Nigeria imetwaa ubingwa wa wa Afro Basket kwa kuwagalagaza mabingwa watatezi wa michunao hiyo Angola kwa vikapu 74 kwa 65.
Mchezaji wa Nigeria Chamberlain Emeka Oguch ndiye aliyekuwa nyota wa mchezo huo baada ya kupata pointi 19 huku Abdul Wahab akipata rebaundi 12.
Wenyeji wa michuano hiyo Tunisia wamekua washindi wa tatu baada ya kuichapa Senegal kwa vikapu 82 kwa 73.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment