Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 31 August 2015

MARIA SHARAPOVA KUIKOSA US OPEN

Mcheza tenisi namba tatu kwa ubora duniani, Maria Sharapova
Nyota namba tatu wa mchezo wa Tenesi duniani kwa upande wa wanawake Maria Sharapova amejitoa kushirikia michuano US Open.
Sharapova amejiondoa katika michuano hiyo ya wazi kwa sababu ya kusumbuliwa na maumivu.
Nyota huyu mwenye miaka 28 hajashuka dimbani tangu ilipomalizika michuano ya Wimbledon,ambapo aliumia goti.
kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika "Nimefanya kila ninachoweza kuwa tayari lakini muda hautoshi."
Daria Kasatkina wa Urusi amechukua nafasi ya Sharapova katika kusaka nafasi za kufuzu kama best loser.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment