Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 24 August 2015

VIKWAZO DHIDI YA IRAN KUONDOLEWA

Hammond na Zarif
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amesema huenda vikwazo dhidi ya Iran vikaanza kuondolewa mapema mwaka ujao.

Philip Hammond yuko mjini Tehran kwa ufunguzi wa ubalozi wa Uingereza nchini humo na amefanya mazungumzo na rais wa Iran , Hassan Rouhani.
Bw Hammond amesema anaamini Iran ina nia ya kufungua ukurasa mpya katika kuimarisha uhusiano kati yake na nchi za magharibi.
Amesema kuwa Uingereza itashirikiana na Iran kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la ISIS.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment