Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 31 August 2015

MAOFISA WA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

 Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter Sima na baadhi ya askari wa kikosi hicho wakimsikiliza kwa makini mtaalamu wa kusindika bia wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emanuel Sawe (kushoto), walipotembea kiwanda hicho, Dar es Salaam kushiriki semina fupi ya wiki ya nenda kwa usalama na TBL.

 Mtaalamu wa kudhibiti Ubora na Ukaguzi wa bia za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lydia Raphael (kulia), akifafanua jambo kwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna  Msaidizi Peter Sima, alipotembelea kiwanda hicho  akiwa na baadhi ya Maofisa na Askari kushiriki semina fupi ya wiki ya nenda kwa usalama na TBL.
 Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter Sima (wa tatu kulia), akishikana mkono na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorice Malulu, baada ya Kamishna huyo na baadhi ya Maofisa na Askari kushiriki semina fupi ya nenda kwa usalama na TBL, Dar es Salaam

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter Sima akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maofisa wa Askari wa kikosi hicho na maofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki semina fupi ya wiki ya nenda kwa usalama, Dar es Salaam



















Wakielezwa jinsi mitambo inavyofanya kazi

































Wakipata maelezo katika kitengo cha maabara kiwandani hapo

No comments:

Post a Comment