Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 4 June 2015

WATANO WASHTAKIWA KWA MAUAJI YA GARISSA


Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa kaskazini mwa Kenya miezi miwili iliyopita.

Haijawekwa wazi watu hao walihusika vipi na shambulio hilo lililosababisha vifo vya Watu 148 .
Maafisa wa usalama wa kenya walisema shambulio hilo lilifanywa na watu wanne ambao wote walikabiliwa na kuuawa .
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment