Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 23 June 2015

SOKO LA GIKOMBA LATEKETEA KENYA


Soko kubwa la kuuza nguo kukuu nchini Kenya la Gikomba katika mji wa Nairobi limeteketea.

Moto huo ulianza mwendo wa saa kumi na moja asubuhi.
Kumekuwa na juhudi nyingi za kuzuia moto huo kusambaa hadi katika maeneo jirani.
null
Soko la Gikomba
Moshi ulionekana ukifuka kutoka mbali.
Baraza la jiji la Nairobi limekuwa mbioni kuzima moto huo ambao umesababisha hasara isiyoweza kukadiriwa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment