Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 4 June 2015

WANAWAKE, WANAUME WALUMBANA SAUDIA


Wasaudi wamekuwa wakilumbana kwenye mtandao baada ya wengi wao kujitokeza kuchangia ujumbe uliowekwa wiki hii wenye maneno na na nukuu " Don't marry a Saudi man", yaani ole wako uolewe na Msaudi.

Malumbano hayo ya mtandaoni yamewaganya upande mmoja wanaume na upande mwengine wanawake -wengi wakisema vipi uolewe kwenye nchi ambayo kila wendapo lazima usindikizwe na mwanamume mwenye uhusiano nawe wa kindugu.
Wengineo wamewatetea wanaume hao wa kisaudi kama watu wanaojua kutunza utamaduni wa nchi yao.
Wanaume wasio katika ndoa pamoja na wanawake wametengwa nchini saidia lakini huwasiliana bila tatizo katika mitandao nchini humo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment