Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday, 12 June 2015

VYAMA 17 KUSUSIA UCHAGUZI BURUNDI

Vurugu Burundi
Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki.

Upinzani unasema kuwa rais Pierre Nkurunziza hafai kuwania muhula wa tatu.
Pia wanataka uchaguzi huo kuahirishwa ,msimamo unaoungwa mkono na viongozi wa eneo hili.
Taifa la Burundi limekumbwa na maandamano na majaribio ya mapinduzi yaliofeli tangu rais Pierre Nkurunziza kutangaza mwezi Aprili kwamba atawania muhula mwengine.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment