Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday, 17 June 2015

SERIKALI YA MUUNGANO PALESTINA YAVUNJIKA


Abbas
Serikali ya Palestina iliobuniwa ili kuponya mgawanyiko kati ya makundi ya Hamas na Fatah imevunjika.

Waziri wake mkuu Rami Hamdallah amejiuzulu rasmi.
Hatua hiyo inajiri baada ya rais Mahmoud Abbas kuliambia kundi lake la Fatah kwamba serikali hiyo ya mwaka mmoja itavunjika kwa kuwa Hamas imekataa kuiruhusu kufanya oparesheni zake katika huko Gaza.
Hatahivyo Hamas limesema kuwa halikushauriwa na kwamba linapinga mpango wowote wa kuvunjwa kwa utawala huo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment