Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 24 August 2016

ETI RAIS MAGUFULI 'AMEWACHOKOZA' CHADEMA!






Hata watoto hutangulizwa kwenye maandamano ya Chadema kama haya yaliyofanyika mwaka 2011 ambapo mtoto huyu ambaye hakujulikana jina lake mara moja naye alikuwemo.
Eliud Mwamakula
HAK’YANANI Rais John Pombe Joseph Magufuli ‘umewachokoza’ Chadema. Na tayari wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamekaa ‘mguu sawa’ kutekeleza amri ‘tukufu ya kamanda wao’ Freeman Mbowe, ya kufanya maandamano nchi nzima hapo Septemba Mosi, 2015 kupinga kile ambayo kiongozi huyo na chama chake wanakiita ‘Udikteta’ ndani ya Serikali ya Awamu ya Tano.

No comments:

Post a Comment