Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 22 August 2016

TUKICHELEWA SIASA, MAENDELEO TUTAYASIKIA KWENYE MITANDAO!



Utumiaji wa zana bora za kiasasa za kilimo kama hizi utakuwa ni ndoto ikiwa tutaendeleza siasa badala ya kuangalia shughuli za maendeleo na kutatua changamoto mbalimbali.

Na Daniel Mbega
NI miezi tisa sasa tangu serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani. Na iliingia katika kipindi ambacho Watanzania walikuwa wanaimba wimbo mmoja tu ‘MABADILIKO’.
Wananchi walikuwa wamechoshwa na umaskini, ukosefu wa huduma za msingi za kijamii kama afya, elimu, maji safi, miundombinu na kadhalika, ambazo zilikuwa ni kilio chao cha miaka mingi bila kupatiwa ufumbuzi.
Kikubwa kilichokuwa kinapigiwa kelele na wananchi ni kero ya rushwa na ufisadi, uzembe, ubadhirifu wa mali ya umma na mambo mengine ambayo kwa kiasi kikubwa yamekwamisha maendeleo kwa kipindi kirefu.
SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment