Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Wednesday, 17 June 2015
WAZIRI MEMBE ALIPOSHIRIKI MAZISHI YA MUFTI ISSA SHABAN BIN SIMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mufti
mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya
Nguzo Nane mjini humo Juni 16, 2015.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akitoa neno kwa umati wa waombolezaji katika
msiba wa Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini
Shinyanga, baada ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini
humo Juni 16.2015.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akisindikizwa na Askofu Liberatus Sangu baada
ya kumaliza mazishi ya marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani
katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga Juni 16.2015.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akisalimiana na wananchi baada ya weka udongo
kwenye kaburi la marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi
yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Juni 16.2015.
No comments:
Post a Comment