Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday, 17 June 2015

MLIPUKO WA BOMU WAUA WATU 23 NIGERIA


Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka katika kambi yao ya zamani.

Wapiganaji wa kiraia wanaosaidiana na Serikali kupambana na Boko Haram walikuwa wakipekua kambi hiyo iliyokuwa imehamwa na wapiganaji wa Boko Haram karibu na mji wa Monguno wakati milipuko ilipotokea.
Inadaiwa kuwa watu hao walikuwa wakisherehekea baada ya kupata mabomu hayo wakati ambapo bomu moja lililipuka na kusababisha madhara hayo makubwa.
Tukio hilo linaonyesha baadhi ya matatizo ambayo raia wanaendelea kukabiliana nayo hata wakati Boko Haram wanapoendelea kutimuliwa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment