Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday, 6 June 2015

MISRI YALITETEA KUNDI LA HAMAS, YASEMA SIYO LA KIGAIDI


Wapiganaji wa kundi la Hamas
Mahakama nchini Misri imefuta hukumu ya awali ambayo ilikitaja chama cha Hamas cha Palestina kama kikundi cha kigaidi.

Imefuta hukumu hiyo kwa sababu mahakama iliyotoa hukumu hiyo haikuwa na uhalali wa kufanya hivyo.
Misri inaonekana kama ni msuluhishi mwenye nguvu kwenye mzozo kati ya Israel na Hamas, ambayo inatawala eneo la ukanda wa Gaza.
Lakini tangu kuondolewa madarakani kwa rais Mohamed Morsi ,uhusiano baina ya Misri na Hamas umedondoka.
Wapiganaji wa kundi la Hamas
Hamas ilikuwa ni chama dada cha Muslim Brotherhood ambacho ni chama cha rais Morsi.
Na sasa Muslim Brotherhood imepigwa marufuku nchini Misri.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment