Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday, 6 June 2015

GAMBIA YAMTIMUA OFISA WA UMOJA WA ULAYA

Umoja wa Ulaya
Serikali ya Gambia imemtimua mwakilishi wa muungano wa Ulaya Agnès Guillaud kutoka nchini humo.
Amepewa saa 72 kuondoka nchini humo na hakuna sababu iliyotolewa ya kufukuzwa kwake.
Muungano wa Ulaya umekuwa ukiilaumu Gambia kwa ukiukaji wa haki za binadamu na mwaka uliopita ulizuia msaada wa karibu dola milioni 15 kwa nchi hiyo.
Shutuma nyingi zimeelekezwa kwa sheria zinazopinga mapenzi ya jinsia moja nchini humo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment