Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 20 March 2016

MASHINDANO YA MAKAMPUNI YALIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA POPULAR SPORTS AND ENTERTAINMENT TANZANIA LTD UWANJA WA DUCE CHANGOMBE JIJINI DAR ES SALAAM YAFANA

 Mchezaji Frank Peter wa Banc ABC (kulia), akijitahidi kumtoka  Kambili John wa Ramada katika mashindano ya makampuni yaliyofanyika Uwanja wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu Dar es Salaam (DUCE), Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya Popular Sports and Entertainment Tanzania Ltd.
 Hapa ni kazi tu uwanjani.
 Kikosi kamili cha Timu ya Ramada.
 Kikosi cha Ramada kikiomba dua.

 Kikosi cha Banc ABC
 Kikosi cha Uhai FC
 Kikosi cha AAR
 Mtanange ukiendelea.
 Hapa mchezaji wa Banc ABC, Nicholaus Mwakijega akiwatoka wachezaji wa Ramada. Kushoto Omari Juma na kulia ni Abdul.
 Ramada wakitoka uwanjani kifua mbele baada ya kuwashinda Banc ABC bao 1-0
Hapa kiatu kiatu uwanjani.

No comments:

Post a Comment