Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 13 January 2014

KCC BINGWA MAPINDUZI CUP

Wachezaji wa KCC, viongozi na mashabiki wao wakishangilia ushindi baada ya kutwaa kombe la Mapinduzi leo.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein naye alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo kati ya Simba na KCC.
Mashabiki wakifuatilia mechi hiyo.
TIMU ya KCC ya Uganda leo imetwaa Kombe la Mapinduzi baada ya kuilaza Simba SC bao 1-0 katika fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan mjini Unguja!
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)

No comments:

Post a Comment