Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 14 January 2014

MTOTO WA DARASA LA TANO ATOWEKA IRINGA

 Mtoto Cliff Moses Kilonge (10)
Mtoto Cliff Moses Kilonge (10) anayesoma darasa la tano katika shule ya msingi Ukombozi, Mtwivila katika Manispaa ya Iringa, ametoweka nyumbani na hajulikani aliko.

Inaelezwa kwamba, mtoto huyo aliondoka jana Jumatatu asubuhi akiwa amevaa sare za shule, lakini taarifa zinasema hakufika.
Juhudi za kumtafuta kila kona zimefanyika, lakini mpaka sasa hajapatikana.
Kwa yeyote atakayefanikiwa kumuona, tafadhali atoe taarifa katika kituo chochote cha polisi ama awasiliane na mama wa mtoto huyo kupitia namba 0752317759.

No comments:

Post a Comment