Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 13 January 2014

ARSENAL INAONGOZA 2-0 VILLA PARK


  • Wapiga Bunduki wa London, Arsenal mpaka sasa wanaongoza kwa mabao 2-0 ugenini kwa Astona Villa, pale Villa Park. Bao la kwanza limefungwa na Jack Wilshire dakika ya 34 na bao la pili limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 35 baada ya kukosa mabao kadhaa.
  • Uwezekano wa Arsenal kushinda mechi hii kwa mabao mengi bado upo kwa sababu mpaka sasa inaongoza kwa ball posseion 78 kwa 22! Italipa kisasi cha kufungwa mabao 3-1 Emirates?

  • No comments:

    Post a Comment