Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 23 December 2015

TIGO YAZINDUA DUKA JIPYA MUSOMA MJINI

    Mkuu   wa  Wilaya ya  Musoma  Mjini ,Mhe.Zelothe Stephen akikaribishwa   na    mwenyeji wake, Meneja  Beatrice Kinabo  kabla  ya uzinduzi wa  tawi  jipya la Tigo  Musoma  mjini. Wengine  pichani   Mkuu  wa   Polisi   Mkoa  wa Mara, Philip Kalangi  na    mwakilisi      wa RAC.

                                 Meneja wa   Mauzo  wa Tigo Mkoa    wa  Mara Edwin Kisamo  akitoa   utambulisho  kwa meza  kuu.

Meneja  wa   Mauzo Tigo  Kanda  ya   Ziwa, Edgar Mapande akiongea na wageni  waalikwa na wanahabari  kabla ya  uzinduzi wa  Duka la Tigo wilayani  Musoma   Mjini 

Mkuu  wa  Wilaya  ya MusomaMjini ,Mhe.Zelothe Stephen akikata  utepe kufungua  rasmi  duka la TigoMusomaMjini , anayeshuhudia  ni Meneja huduma kwa  Wateja wa  Tigo kanda ya  Ziwa Beatrice Kinabo.

   Meneja  wa  Mauzo Tigo  Kandayaziwa, Edgar Mapande  akimkabidhi  simu Mkuu wa  Wilaya  ya  Musoma  Mjini  Mhe.Zelothe Stephen, mara  baada  ya  uzinduzi wa   duka la Tigo Musoma   mjini.

      Mkuu  wa  Wilaya  ya  MusomaMjini , Mhe.Zelothe Stephen akiongea na waandishi wa habari na wadau  mbalimbali  wakati wa  ufunguzi  wa  duka la Tigo   Musomamjini, Wengine   kutoka  kulia Meneja wa Mauzo Tigo mkoa wa Mara, Edwin Kisamo, Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa Beatrice Kinabo  na   Katibu  wa   Mkuu  wa mkoa  Bw. Marwa

        Meneja  wa  Mauzo  Tigo  Kanda ya  ziwa, Edgar Mapande  akimkabidhi  simu   Mkuu  wa Polisi  Mkoa  wa Mara, Philip Kalangi  mara baada ya  uzinduzi wa  duka la Tigo  Musoma mjini.

     Baadhi  ya  wateja  wakiangalia  bidhaa  mbalimbali  mara  baada ya  ufunguzi wa duka la Tigo Musoma Mjini



    Wadau  mbalimbali  waliohudhuria uzinduzi

       Mkuu  wa  Wilaya  ya  Musoma  Mjini ,Mhe.Zelothe Stephen  akiwa  kwenye  picha ya  pamoja  na  wafanyakazi  wa Tigo  na  wadau  mbalimbali.

No comments:

Post a Comment