Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 1 November 2015

HAPPY BIRTHDAY MWANALIBENEKE HARITH JAHA WA 93.7 JEMBE FM MWANZA.

Ni mapambanaji na mwanalibeneke asie na makuu katika taaluma ya Habari hapa nchini, akiwa amefanya kazi na vituo mbalimbali vya Radio pamoja na kujishindia tuzo mbalimbali za uandishi wa Habari akiwa na Afya Radio ya Jijini Mwanza.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Anaitwa Harith Jaha Ally a.k.a Mr.Credit, kwa sasa akiwa ni Mtangazaji na Mwandishi wa Habari wa 93.7 Jembe Fm Mwanza. 
Alizaliwa 0ctoba 30 miaka kadhaa iliyopita hivyo jana alizima mishumaa miiiiiiingi kweli kweli.
BINAGI MEDIA GROUP inapenda kukutakia Maisha Mema katika ukurasa wako mpya wa maisha yako maana ikizingatiwa kuwa kadri umri unavyoongezeka basi na busara zako zinazidi pia kuongezeka. 
Keep It Up!

No comments:

Post a Comment