Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 22 September 2016

MKOA WA SHINYANGA WATOA ZAIDI YA MILIONI 41KUSAIDIA WAATHIRIKA WA TETEMEKO KAGERA.


 Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salim Kijuu (kulia) baadhi ya misaada iliyotolewa na wananchi wa mkoa wa Shinyanga kwa waathirika wa tetemeko la ardhi Kagera.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salim Kijuu akitoa shukrani baada ya kupokea misaada kutoka mkoa wa Shinyanga



Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack (kulia) akitoa maelezo kuhusu msaada wa vifaa vya ujenzi na chakula kutoka kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela.

No comments:

Post a Comment