Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 10 September 2015

KUCHEZA JUMAMOSI KWAZUA MVUTANO ISRAEL

Timu ya Taifa ya Israel
Mamlaka ya soka nchini Israel imesimamisha mipango ya mgomo katika mzozo kuhusu kucheza siku ya Sabato ya Wayahudi.
Uhalali wa mechi za Jumamosi umetiliwa shaka na Mahakama ya kazi ya Israel,ambayo imekuwa ikiwaunga mkono wachezaji wayahudi juu ya madai yao.
Lakini chama cha soka cha Israel kimesema kuwa michezo yote itaendelea kama ilivyopngwa baada ya mwanasheria mkuu kuthibitisha kuwa hakuna mtu ambaye atafunguliwa mashitaka.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment