Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 1 January 2015

RAIS WA GAMBIA ARUDI NYUMBANI

Rais wa Gambia Yahya Jammeh
Ripoti kutoka Gambia zinasema kuwa rais Yahya Jammeh amerudi nchini humo kutoka ziara ya ughaibuni kufuatia njama ya kutaka kumpindua.

Yahya Jammeh amesema kuwa kamanda mmoja wa jeshi wa zamani alijaribu kuchukua udhibiti wa taifa hilo alipokuwa ziarani Ufaransa.
Haijulikani ni wapi rais Jammeh alikokuwa huku ripoti zikidai kuwa alikuwa nchini Ufaransa na wengine wakisema alikuwa Dubai.
Mkuu wake wa itifaki ameiambia BBC kwamba kila kitu kiko shwari katika mji mkuu.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment