Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 1 January 2015

NGUNA YA WANAUME HII! UPOOOO!

Kweli kazi na Dawa! Hawa ni wavuvi katika Bwawa la Mtera ambao wanapika ugali, wapate nguvu kabla ya kurejea tena majini kutafuta samaki wa kitoweo na biashara.

 Nguna imekamilika...
...Na wanaume wanaishambulia kama kawa...

No comments:

Post a Comment