Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 3 January 2015

KOCHA: RONALDO ATARUDI OLD TRAFFORD


Cristiano Ronaldo
Aliyekuwa msaidizi wa kocha wa Manchester united Mike Phelan anaamini kuwa Cristiano Ronaldo huenda akaandikisha mkataba wa kurudi katika kilabu ya Old Trafford katika siku sijazo.

Ronaldo amehusishwa na mpango wa kurudi Manchester United katika muda wake katika kilabu ya Real Madrid ,lakini mpango kama huo haujazaa matunda kufikia sasa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ambaye alichezea Man U anafurahia maisha yake katika kilabu ya Real Madrid lakini Phelan anaamini huenda akashawishika kurudi katika ligi ya Uingereza.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment