Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 2 January 2015

UNAZIKUMBUKA ENZI HIZI?!

Enzi za utotoni zina raha yake, mojawapo ikiwa ni kuwinda ndege, iwe kwa manati au ulimbo. Vijana hawa walionaswa na kamera ya BrotherDanny mjini Kibaya wakiwaandaa manati kwa ajili ya mwindo ya ndege.

No comments:

Post a Comment