Rais Jakaya Kikwete
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.
Akiwa Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano mikubwa zaidi ya 10 iliyopangwa kufanyika Septemba 24 hadi Oktoba Mosi. Rais Kikwete amepangwa kuwa kiongozi wa 12 duniani kuhutubia baraza hilo.
Septemba 25. Pia atakuwa mwenyekiti wa Kamati ya Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu mazingira (CAHOSC) ulioitishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki Moon.
CREDIT: MWANANCHI

No comments:
Post a Comment