Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 8 September 2014

AJALI YA KUTISHA: AIR BUS LAUA 48 GAIRO


Basi la abiria la Air Bus kutoka Tabora kwenda Dar limepata ajali mbaya katika Kijiji cha Kiegeya wilayani Gairo na taarifa zinasema karibu watu 48 wamekufa papo hapo.
Inaelezwa kwamba eneo hilo limetandwa na vilio. Chanzo cha ajali bado hakijajulikana.
Tayari viongozi wa serikali wamekwishafika eneo la tukio.

Credit: Juma Mzuri/Wanabidii

No comments:

Post a Comment