Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 9 September 2014

AJALI HII, AIR BUS LILITAKA KUPAA?!

Basi la Kampuni ya Air Bus likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali.…Basi hilo lilipata ajali mbaya katika Kijiji cha Kiyegeya wilayani Gairo baada ya kuacha njia na kuporomoka bondeni.
Taarifa zinasema, katika ajali hiyo iliyotokea jana mchana, takriban watu 48 walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

MUNGU TUNUSURU NA AJALI HIZI.

No comments:

Post a Comment