Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 22 March 2015

ZITTO KABWE ALIPONG’ATUKA RASMI UBUNGE


1
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia CHADEMA. 
4
Barua yake ya kung’atuka ubunge kupitia chama cha CHADEMA 7Mhe.Zitto Kabwe akiongea na waandishi wa Habari usiku wa kuamkia leo mara baada ya Kuwaaga Wabunge Baada ya kuwasomea barua aliyomwandikia Mhe. Spika ya Kung’atuka Ubunge baada ya kuvuliwa Uanachama na chama chake cha CHADEMA.

No comments:

Post a Comment