Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 22 March 2015

WALIODANGANYA MITIHANI WAFUKUZWA INDIA

Watu wanaparamia jumba la mitihani Bihar, India


Wakuu wa jimbo la Bihar, India, wamewakamata mamia ya watu na wamewafukuza wanafunzi zaidi ya 750 baada ya video kutanda mtandaoni, zinazoonesha wanafunzi wakidanganya wazi kwenye mtihani wa kumaliza shule.

Baadhi ya wazee na askari polisi wamekamatwa, na mitihani ijayo katika vituo vine imeahirishwa.
Picha hizo zinaonesha wanaume wakiparamia kuta za vituo vya mitihani na kuwakabidhi wanafunzi majibu, na wanafunzi wengine wakikopi kutoka maelezo hayo.
BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment