Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 23 March 2015

UGONJWA WA EBOLA BADO TISHIO


Mashirika ya utoaji misaada yanaonya hali bado ni tete, mwaka mmoja tangu ugonjwa wa Ebola kulipuka magharibi mwa Afrika.

Shirika la madaktari wasiokuwa na mipaka- MSF, linasema kuwa mlipuko huo ambao uliwauwa zaidi ya watu elfu kumi.
Shirika limesema namna mashirika ya matibabu na watoaji misaada ya dharura, yalivyoendesha shughuli za kuwaokoa watu kuwa ni taratibu mno.
BBC

No comments:

Post a Comment