Baadhi ya waimbaji wa FFU. pembeni mkuu kamanda Ras Makunja, katikati Jessica Ouyah na Sarah Fina.
Gwaride la Ngoma Africa jukwaani nyara za taifa chini ya ulinzi wa makamanda.
Ngoma Africa band wakifunika Vechelde Festival-Ujerumani.
Kazi inaendelea jukwaani.
Kikosi Kazi Ngoma Africa Band kazini Vechelde festival-Ujermani.
Ngoma Africa Band aka FFU mzigoni.
Nyara za Taifa chini ya ulinzi
Kikosi
Kazi Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni chenye maskani nchini
ujerumani juzi siku ya Jumamosi ya 5 September 2015 kilifanikiwa
kufunika katika
onyesho Vechelde Festival nchini
Ujerumani.bendi hiyo maarufu barani ulaya kwa kuwadatisha washabiki wa
muziki wa kiafrika kule ughaibuni imejijenga umaarufu katika kila kona
na kuwekwa kileleni katika nafasi ya juu na washabiki wake wa
kimataifa.inaongozwa na kamanda Ras Makunja na kuwa na utajiri wa wanamuziki vijana wenye wingi wa vipaji .
wasikilize at www.reverbnation.com/ ngomaafricaband
jiunge nao pia at https://www.facebook.com/ NgomaAfricaBand
No comments:
Post a Comment