Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday, 7 September 2016

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Millicom afanya ziara nchini Tanzania

 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Millicom ambayo ni kampuni Mama ya Tigo Tanzania Mauricio Ramos (Kushoto) akijibu maswali kutoka kwa wafanyakazi wakati wa mkutano na wafanyakazi wa Tigo jijini Dar es salaam mapema mwishoni wa wiki iliyopita. Ramos yuko nchini kutembelea kampuni ya Tigo na miradi yake.

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Millicom ambayo ni kampuni Mama ya Tigo Tanzania Mauricio Ramos (Kushoto) akijibu maswali kutoka kwa wafanyakazi wakati wa mkutano na wafanyakazi wa Tigo jijini Dar es salaam. Ramos yuko nchini kutembelea kampuni ya Tigo na miradi yake.  Kushoto kwake ni Mjumbe wa bodi ya Millicom na Mkurugenzi wa uendelezaji vipaji  wa kampuni ya Tigo, Catherine Olak.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Millicom ambayo ni kampuni Mama ya Tigo Tanzania Mauricio Ramos (Kushoto) akijadiliana jambo na wafanyakazi wa Tigo mara baada ya mkutano pamoja nao mapema wa wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment