Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq ing akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam.Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China ambapo washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni .(Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Mmoja wa wachoraji wa sanaa ya Tingatinga akionyesha cheti chake cha ushindi katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam,wa kwanza aliyekaa kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga.Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China ambapo washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,
Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akimpongeza mmoja wa washindi wa
uchoraji wa Sanaa ya Tingitinga katika utoaji wa Tuzo la Mashindano ya
Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar
es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermas
Mwansoko. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China
ambapo washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana
utamaduni. (Picha na Benjamin Sawe-
WHVUM).
Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq ing akimkabidhi mmoja wa washindi wa uchoraji wa sanaa ya tingatinga katika utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. ambapo washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko akimkabidhi mmoja wa washindi wa uchoraji wa sanaa ya tingatinga katika utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. ambapo washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Rais wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania Bw. Adrian Nyangamale akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM).
Mwenyekiti
wa Tingatinga Arts Co-operation
Society akiongea na baadhi ya wasanii wa
sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika
hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa
Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo
zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. ambapo washindi
wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM)
No comments:
Post a Comment