Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 3 September 2015

KOZI YA LESENI B ZANZIBAR YAFUTWA

Kozi ya makocha wa CAF ya Leseni B iliyokua ifanyike kwa muda wa wiki tatu mwezi Septemba mwaka huu kisiwani Zanzibar sasa imefutwa kufuatia kupeleka mpira mahakamani.
Sasa kozi hiyo itafanyika tena pindi kesi ya mpira itakapoondelewa mahakamani. Kumekua na hali ya kutokuelewana kwa uongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu kisiwani Zanzibar (ZFA) hali iliyopelekea uongozi wa ZFA kupelekwa mahakamani.
Kwa mujibu wa kanuni za FIFA, masuala ya mpira wa miguu hayapaswi kupelekwa mahakamani

No comments:

Post a Comment