Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 8 December 2014

MBUNGE ANASWA AKICHEZA GEMU KIKAONI

Mchezo wa Candy Cash
Mbunge wa chama tawala cha Conservative nchini Uingereza , amekiri kucheza mchezo maarufu kwenye tabiti yake wakati wa kikao cha kamati moja la bunge hilo.

Jarida la The Sun, limechapisha picha za mbunge huyo kwa jina Nigel Mills akicheza Candy Crush Saga kwenye tabiti yake, wakati wa mkutano wa kamati hio kuhusu mageuzi ya sera ya serikali kuhusu malipo ya uzeeni.
Jarida hilo linasema Bwana Nigel alicheza mchezo huo kwa zaidi ya saa mbili.
Hata hivyo amejitetea akisema alifahamu kilichokuwa kinaendelea katika kamati hiyo na kwamba lihusika katika kuuliza maswali. Hata hivyo alikiri kucheza mara mbili na kusema atajaribu kujizuia kucheza mchezo huo katika siku za usoni akiwa kazini.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment