Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
Copyright Management Eas t
Africa Paul Matthysse kulia
akimuelekeza Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye
jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi.(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
Mkuu wa uendeshaji wa Kampuni ya
Copyright Management Eas t
Africa Abdi Zagar aliesimama
akimuelekeza Mhe. Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mh. Nape Nnauye jinsi mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa
unafanya kazi, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Copyright Management
Eas t Africa Paul
Matthysse maarufu kama P-Funky. (Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Mhe. Nape Nnauye akiongea na
viongozi wa COSOTA na wa Kampuni ya
Copyright Management Eas t
Africa kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya
kazi. .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)
No comments:
Post a Comment