Kesho Jumamosi, Kundi B Polisi Morogoro watacheza dhidi ya Njombe Mji uwanja wa Jamhuri, Morogoro, Kurugenzi FC dhidi ya JKT Mlale uwanja wa Wambi – Iringa, Burkinafaso dhidi ya Lipuli na Kimondo watawakaribisha Ruvu Shooting kwenye uwanja wa Vwawa – Mbozi.
Kundi C, Polisi Mara FC watawakaribisha Panone FC uwanja wa Karume mjini Musoma, Geita Gold watacheza dhidi ya JKT Oljoro uwanja wa Nyankumbu mjini Geita, JKT Kanembwa watakua wenyeji wa JKT Oljoro uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, huku Rhino Rangers wakicheza dhidi ya Mbao FC uwanja wa Ali Hassani Mwinyi mjini Tabora.
No comments:
Post a Comment