Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 17 February 2016

VIDEO: MAJIPU YATUMBUKA, MHANDISI AFUKUZWA KAZI RUVUMA

Halmashauri ya Wilaya ya SONGEA Mkoani RUVUMA imemfukuza kazi mhandisi wa Wilaya hiyo, Mhandisi DAUDI BASILIO kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake kwa kuidhinisha fedha za ujenzi wa barabara kutoka MBINGA MHALULE hadi MPITIMBI pamoja na ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao la MGAZINI kinyume cha taratibu na kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 38. Story kamili hii hapa RUVUMA TV.

No comments:

Post a Comment