Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 8 February 2016

MAHAKAMA YA TANZANIA YAPOKEA SH. BILIONI 12.3 ZILIZOAHIDIWA NA RAIS


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati) akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga (kushoto) mfano wa hundi wakati wa makabidhiano ya fedha hizo mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju (kulia) mfano wa hundi wakati wa makabidhiano ya fedha hizo mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga.

No comments:

Post a Comment