Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba Bw.hemed Suleiman wakati alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni katika futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba jana. [Picha na Ikulu.]
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba Bi Hanuna Ibrahim Masoud wakati alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni katika futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akishiriki katika swala ya magharibi iliyoswalishwa na Sheikh Chumu Salim kabla ya futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba jana katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni,
Akinamama wa Vijiji tofauti vya Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni,
Wananchi na Waislamu wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katikaviwanja vya Skuli ya Mkanyageni,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Viongozi wengine wakiitikia dua iliyoombwa baada ya kufutari pamoja na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba jana katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein kushoto) akiagana na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba baada ya futari ya pamoja aliyoitayarisha kwa Wananchi wa kijiji hicho jana.
No comments:
Post a Comment