Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday, 15 May 2015

WAHAMIAJI 800 WAOKOLEWA NA WAVUVI INDONESIA

Wahamiaji wa Indonesia
Zaidi ya wahamiaji mia nane wamewasili katika mkoa wa Aceh nchini Indonesia baada ya kuokolewa na wavuvi mashua yao ilipokuwa ikizama.

Ripoti zasema kuwa mashua nyingine ilirejeshwa Indonesia na jeshi la wanamaji.
Mwandishi wetu anasema kuwa wengi wa watu hao walikuwa wakihitaji matibabu baada ya kukaa baharini karibu miezi mitatu bila maji wala chakula.
Mamlaka za Malaysia imesema kuwa haitaruhusu mashua hiyo kutia nanga katika ardhi yake.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment