Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday, 15 May 2015

SERIKALI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA WA MKOA WA DODOMA

Displaying mkongotema 2.jpg
Wataalamu Kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu wa kikundi cha ujasiriamali cha ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho uliopo umbali wa Kilometa 106 kutoka Ruvuma mjini.

Displaying mkongotema 1.jpg
Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Habari wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu cha kikundi cha ujasiriamali cha Ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho umbali wa Kilometa 106 kutoka Ruvuma mjini.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha huduma za Sheria Bi. Ester Riwa na kushoto ni Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Displaying mkongotema 3.jpg
Wataalamu Kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiwa katika ukaguzi wa mradi wa kilimo cha karafuu cha Ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho umbali wa Kilometa 106 kutoka Ruvuma mjini.
Displaying mkongotema 4.jpg
Mradi wa kilimo cha karafuu wa kikundi cha ujasiriamali cha ushindi kilichopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho

Picha na Benjamin Sawe

No comments:

Post a Comment