Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 11 May 2015

RAIS WA SOMALILAND AONGEZEWA MUDA

Rais wa Jamhuri ya Somaliland Ahmed Silanyo
Kumekuwa na maandamano katika jamhuri iliojitangaza ya Somaliland baada ya mda wa kuongoza wa raia Ahmed Silanyo kuongezwa kwa miaka miwili.

Baraza la wazee lilipiga kura ya kuahirishwa kufanyika kwa uchaguzi uliotarajiwa kufanyika mwezi ujao likisema kuwa usajili wa wapigaji kura hautakamilika kwa wakati unaofaa.
Muda wa bunge pia uliongezwa.
Somaliland ilitangaza kupata uhuru kutoka kwa Somalia miaka 24 iliopita lakini ilikuwa haijatambulika kimataifa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment