Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 10 May 2015

MASHAMBULIZI ZAIDI YAFANYIKA NCHINI YEMEN


Vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimeendesha mashambulizi kwenye mjii mkuu Yemen sanaa vikilenga nyumba ya rais wa zamani Ali Abdullah Saleh.

Milipuko mikubwa ilisikika na moshi mkubwa ulionekana ukitanda angani kutoka eno hilo. Rais huyo wa zamani ni mshirika wa waasi wa Houthi ambao wanaendesha harakati za kutaka kuidhibiti Yemen.
Hata hivyo haiaminiki ikiwa alikuwa kwenye nyumba hiyo.
Mapema mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Yemen (Johannes Van Der Klaauw) alivilamu vikosi vinavoongozwa na Saudi Arabia kwa kufanya mashambulizi ya kiholela nchini humo.
Alionya kuwa kulenga maeneo yenye watu wengi, licha ya kutoa onyo la mapema, ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment