Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 5 December 2016

TAARIFA YA VIKAO VYA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kutakuwa na kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kitakachofanyika tarehe 11 - 12/12/2016 na kufuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa tarehe 13/12/2016. Vikao vyote hivyo vitafanyika jijini Dar es salaam.

Wajumbe wote wa vikao hivyo wanaombwa kuhudhuria.
Imetolewa na:- 
                   
SELEMAN Y. MWENDA
Kny: MSEMAJI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
05.12.2016

No comments:

Post a Comment