Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 20 October 2014

TALIBAN WAANZISHA MAPIGANO AFGHANISTAN

Wapiganaji wa Taliban
Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano kwenye maeneo mawili ya Afghanistan ya kati na mashariki mwa nchi hiyo.

Katika jimbo la Logar, wanamgambo walivamia baadhi ya maeneo ya malindo makuu.
Mapigano yameendelea zaidi ya saa kumi huku wanajeshi wanne wakiripotiwa kuuawa katika mapambano hayo. Mawasiliano katika eneo yameharibiwa kufuatia na mapigano hayo.
Hata hivyo Gavana wa jimbo la Ghor ameiambia BBC kuwa kati ya wanamgambo mia nne hadi mia tano wamevamia vijiji viwili katika nchi hiyo. Mapigano yanaendelea na idadi ya wahanga wa mapigano hayo haijapatikana rasmi.
CREDIT: BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment